Di taim de mi waah iina di choch

(1)shi kalot gegeor an im tel im se,tak wid fi mi ouna ozban an tel im se ,memba fi galang dong iina dem choch


(2).paasn im av buk iina im an redi fi raitdong


(3).im se tuh mi se,unu a di ed aafa ouna ous,se ou unu waah fi se fos.mi did gat kanfyuuz becah mi expek notn laka dem de sitn dem an mi neehn nou waah a apmmmm

(4).mi an waif aal nuo ou mi mada mek wi fi sof(ou im mek unu fi sof)no a naamal fait bot dis a fait gens spirit

(5).dem tri fi chrik chrik miop,im se ou.chuu jriim dem


(6).im tan op an aks ar se,waahn unu fi tak bout da sitn de,im se,mi no nou au fi se ar ou fi se it kaaz di sitn dem mi kuda se im av se di rait wie

(7).paasn did beks pan wi kaaz im no nou ou fi tak bot di sitn dem


(8).Gi unu mada rispekan gi ar di fuud


(9)im waahn wi fi kom outa mi yaad


(10).mi tel dem se ou mi waahn fi fait wid dem wikid spirit iina wi yaad.im ansa mi se,mi cyaan fait dem wen iina wi yaad sieka dem si laka dem av nof powa Dan wi

              ??????
(a).Paasn,gegeor,nou aal di    
       sitn dem bot mi yaad
(b).aal a dem trid fi fuul miop
(c).Paasn did get bex pan mi
(d).im no waahn fi ier bot
     mi vijan ar mi jriim dem
(e).im joj i&i laik mi a bad
      man.

The will of God


(1Th 4:3 This is what God wants. He wants you to live clean lives. He wants you to keep away from wrong sex.

(1Th 4: 3)
    For the purpose of God for you is this: that you may be holy, and may keep yourselves from the desires of the flesh;

(Rom 6: 12)
    Therefore, do not let sin rule your mortal bodies so that you obey their desires.

(Eph 4: 22-28)
    22. Regarding your former way of life, you were taught to strip off your old man, which is being ruined by its deceptive desires,
   23. to be renewed in the spirit of your minds, 
  24. and to clothe yourselves with the new man, which was created according to the likeness of God in righteousness and true holiness.  
25. Therefore, stripping off falsehood, “let each of us speak the truth to his neighbor,” for we are members of one another.    26. “Be angry, yet do not sin.” Do not let the sun go down on your wrath,   
27. and do not give the devil an opportunity to work.  
28. The thief must no longer steal but must work hard and do what is good with his own hands, so that he might have something to give to the needy.

(Gal 5: 16-26)
    16. So I say, live by the Spirit, and you will never fulfill the desires of the flesh.    17. For what the flesh wants is opposed to the Spirit, and what the Spirit wants is opposed to the flesh. They are opposed to each other, and so you do not do what you want to do.   
18. But if you are being led by the Spirit, you are not under the law.   
19. Now the works of the flesh are obvious: sexual immorality, impurity, promiscuity,   
20. idolatry, witchcraft, hatred, rivalry, jealously, outbursts of anger, quarrels, conflicts, factions,  
21. envy, murder, drunkenness, wild partying, and things like that. I am telling you now, as I have told you in the past, that people who practice such things will not inherit the kingdom of God.  
22. But the fruit of the Spirit is love, joy, peace, patience, kindness, goodness, faithfulness,   
23. gentleness, and self-control. There is no law against such things.  
24. Now those who belong to Christ Jesus have crucified their flesh with its passions and desires. 
  25. If we live by the Spirit, let us also be guided by the Spirit.   
26. Let us stop being arrogant, provoking one another and envying one another.

(Eph 2: 3-11)
    3. Indeed, all of us once behaved like them in the lusts of our flesh, fulfilling the desires of our flesh and senses. By nature we deserved wrath, just like everyone else.  
4. But God, who is rich in mercy, because of his great love for us   
5. even when we were dead because of our offenses, made us alive together with Christ (by grace you have been saved),   
6. raised us up with him, and seated us with him in the heavenly realm in Christ Jesus,   
7. so that in the coming ages he might display the limitless riches of his grace in kindness toward us in Christ Jesus.   
8. For by such grace you have been saved through faith. This does not come from you; it is the gift of God    9. and not the result of works, lest anyone boast.    10. For we are his masterpiece, created in Christ Jesus for good works that God prepared long ago to be our way of life.  
11. So then, remember that at one time you were Gentiles by birth and were called “the uncircumcision” by what is called “the circumcision” made in the flesh by hands.

(Tit 3: 4-11)
    4. But when the kindness and love of God our Savior towards man appeared,  
5. Not by works of righteousness which we have done, but according to his mercy he saved us, by the washing of regeneration, and renewing of the Holy Spirit;    6. Which he shed on us abundantly, through Jesus Christ our Savior;   
7. That being justified by his grace, we should be made heirs according to the hope of eternal life.   
8. This is a faithful saying, and these things I will that thou affirm constantly, that they who have believed in God may be careful to maintain good works. These things are good and profitable to men.  
9. But avoid foolish questions, and genealogies, and contentions, and strivings about the law; for they are unprofitable and vain.   
10. A man that is a heretic, after the first and second admonition, reject; 
  11. Knowing that he who is such, is subverted, and sinneth, being condemned by himself.

1.Maombi ya hatari ….one

MAOMBI
sevemauki.blogspot.com
MWONGOZO WA MAOMBI MAALUMU (MAOMBI YA HATARI).
Huu ni Mfano Tu, Jinsi Ya Kuomba Na Maeneo Ya Kuombea! Unatakiwa pamoja na KUWA NA BIDII, KUMTEGEMEA SANA ROHO MTAKATIFU NI MUHIMU SANA!
MAOMBI MAALUMU YA JINSI YA KUPAMBANA KATIKA VITA VYA KIROHO
Jinsi Ya Kuomba Maombi Haya
Si Lazima Upige Magoti Unapoomba Maombi Haya, Waweza Kusimama Na Kujiandaa Kama Askari; Ukikishika Kitabu Hiki Mikononi Mwako Na Kukisoma Chote. Unaweza Kuomba Maombi Haya Muda Wa Mchana Au Usiku. Maombi Haya Yanafanyakazi Wakati Wowote Lakini Ni Vyema Zaidi Yawe Wakati Wa Usiku.
Ukumbuke Ya Kuwa; Uhai Na Mauti Vipo Katika Uwezo Wa Ulimi Wako. Mauti Na Uzima Huwa Katika Ulimi (Mithali 18:21), Neno Liko La Uwaza Li Karibu Nawe Sana. Ulikiri Kwa Kinywa Chako Na Moyo, Upate Kulifanya (Kumbu La Torati 30: 14) Kwa Maana, Uwezo Wa Mungu Uko Katika Ulimi Wako Sasa, Tamka Maneno Nayo Yatafanyika.
Omba Maombi Hayaya Haya Maalumu Na Ya Hatari Sana Kwa Shetani Na Majeshi Yake, Omba Katika Nguvu Na Uweza Wa Roho Mtakatifu; Na Shetani Na Majeshi Ya Mapepo Wabaya Yatainua Mikono Juu Kusalimu Amri Mbele Za Uweza Wa Roho Mtakatifu Na Wa Bwana Yesu Kristo Mwana Wa Mungu Aliye Hai.
Uwapo Katika Mashambulizi Makali Ya Kishetani Au Vipingamizi Vikali, Endelea Kwa Siku Saba (7) Za Masisitizo (Mfululizo) Wa Maombi Haya Kuanzia Saa 6.00 Usiku Wa Manane Hadi Saa 9.00 Alfajiri. Kwa Kufanya Hivi, Utawasumbua Na Kuwazuia Maadui Kufanya Mkutano Dhidi Yako Na Wengine Kwa Ujumla. Kwa Ajili Ya Usumbufu Huu Utakao Kuwa Unaendelea Kuufanya, Utasababisha Wao Kuliondoa Jina Lako Katika Orodha Ya Wale Wanaotakiwa Kushambuliwa, Kwa Kuondolewa Jina Lako Katika Orodha Ya Wale Wanao Watarajiwakushambuliwa, Na Moja Kwa Moja Utapata Uhuru Na Ufumbuzi Wa Matatizo Yako.
Maombi Haya Hayatosheshi Kukufanya Uombe Kuanzia Usiku Wa Saa 6.00 Hadi Saa 9 Alfajiri Tu, Bali Inabidi Uongeze Maombi Mengine Juu Ya Hayo. Unaweza Kuomba Mara Mbili Au Zaidi Katika Muda Huo Wa Masaa Matatu Ya Maombi Ya Msisitizo (Hiyo Haimaanishi Kwamba Unarudia, Bali Unazidi Kuchochea Moto Zaidi Mahali Ambapo Tayari Pana Moto Dhidi Ya Shetani) Omba Mara Kwa Mara Ukimaanisha Na Kueleweka Ni Nini Unachokisema, Na Kwamba Kweli Umekusudia Iwe Hivyo Ulivyosema.
Ila Epuka Kupaaza Sana Sauti Yako, Ikiwa Upo Kwenye Nyumba Yenye Watu Wengi. Ili Sauti Yako Isije Ikawasumbua Wengine, Hivyo Omba Kwa Sauti Ya Kwaida Na Ya Utulivu, Na Pia Ili Kutunza Siri Ya Maombi Haya Maalumu Sana Na Ya Kivita Na Ya Hatari Sana Kwa Shetani Na Majeshi Yake; Kwani Mawakala Au Wajumbe Wa Shetani Wanaweza Kuwa Wanasikiliza Maombi Yako Unapoomba, Maana Ndiyo Kazi Zao.

     HATUA ZA MAOMBI

      . MAANDALIZI.
          
       1..(KUJITAKASA)

Ninaomba Neema Yako Ee, Mungu Uliye Hai,

Baba Yetu Wa Mbinguni, Uishiye Milele Na Milele, Na Kwa Kupitia Mamlaka Ya Jina Lako, Ee Yesu Kristo Wa Nazareti, Mwana Wa Mungu Uliye Hai,

Ninakuomba Utakaso Mbele Zako Ee Mungu Uliye Hai Milele Na Milele, Na Mbele Zako Ee Bwana Yesu Kristo Mwana Wa Mungu Uliye Hai Milele Na Milele, Na Mbele Zako Ee Roho Mtakatifu, Uliye Hai Milele Na Milele,

Nami Ninaupokea Utakaso Huu Sasa, Ulioniandalia Kabla Ya Kuwekwa Misingi Ya Ulimwengu, Na Kwa Kifo Chako Ee Bwana Yesu Pale Msalabani,

Ninajitakasa Sasa Na Hata Milele Kwa Utakaso Huu Kwa Damu Ya Yesu Kristo Mwana Wa Mungu, Uliye Hai Milele Na Milele,

Na Kwa Utakaso Huu Kwa Neno La Mungu Uliye Hai Milele Na Milele, .

Na Kwa Utakaso Huu Kwa Upako Wa Roho Mtakatifu Wa Mungu Uliye Hai Milele Na Milele;

Na Kwa Utakaso Huu Kwa Jina La Yesu Kristo Wa Nazareti, Mwana Wa Mungu Uliye Hai, Uishiye Milele Na Milele!

Na Kwa Utakaso Huu Ninazifisha Nguvu Zote Za Kila Aina Ya Dhambi, Na Kila Aina Ya Uchungu Wa Dhambi, Na Kila Aina Ya Magonjwa, Na Kila Aina Ya Udhaifu, Na Mauti.

Na Kwa Utakaso Huu Ninang’oa Kila Aina Ya Pando Lisilopandwa Na Baba, Mungu Uliye Hai, Katika Jina La Yesu Kristo Mwana Wa Mungu Uliye Hai Milele Na Milele, Amina!

          2..(TOBA)

   Ninakuomba Roho Mtakatifu, Katika Jina La Bwana Yesu Kristo Wa Nazareti, Unisaidie Kujichunguza Na Kuiona Kila Dhambi Ndani Yangu, Na Kisha Uniwezeshe Kuishinda Aibu Na Haya Mbele Zako Na Mbele Za Wanadamu, Ili Niweze Kukiri Na Kuomba Toba Mbele Zako Ee Mungu Kikweli Kweli.

Tena Ninaomba Uniwezeshe Kwa Upesi, Niamue Kikweli Kweli, Kubadilika Kwa Kutokutenda Dhambi Tena,

Unisaidie Kuyaacha Maasi Yangu Yote, Ili Niwe Safi Na Niwe Tayari Wakati Wote Moyoni Mwangu, Rohoni Mwangu, Na Mwilini Mwangu;

Kwa Maana Maisha Yangu Hapa Duniani Ni Kama Moshi, Kama Mvuke, Na Kama Ua Linalochanua Asubuhi Na Kisha Jioni Hunyauka.

Hivyo Ninaomba Kila Saa Uniwezeshe Niwe Tayari Muda Wote, Bila Mawaa Wala Makunyanzi Yoyote Kuwa Tayari Kwa Kuingia Mbinguni.

Ninaomba Unyenyekevu Wa Kweli Mbele Zako Ee, Mungu Wangu, Na Mbele Za Wanadamu.

Ninaomba Unisamehe Sana Ee Baba, Ninaomba Unisamehe Sana, Ee Bwana Yesu, Ninaomba Unisamehe Sana, Ee Roho Mtakatifu.

Ninaomba Unisaidie Ee, Mungu Wangu, Ninaomba Neema Yako Tele, Maana Bila Wewe Mimi Siwezi Neno Lolote. 

       3..  KUSAMEHE NA         
          KUSAMEHEWA

  Ninakusihi Ee Bwana Yesu, Uniwezeshe Kwa Ujasiri Wote Na Kutoka Ndani Kabisa Ya Moyo Wangu, Kufanya Matengenezo – Yaani, Kujichunguza Na Kufanya Marekebisho Kwa Maeneo Yale Niliyowakosea Watu Wengine.

Niwezeshe Kwenda Kukiri Makosa Na Kuwaomba Msamaha, Kuwarudishia Mali Zao Nilizowadhulumu, Nilizokopa, Nilizoiba, Na Hata Niwezeshe Kulipa Gharama Pale Inaponibidi Kwa Utii Na Unyenyekevu Wote.

Kwa Uhakika Kabisa Nianze Na Jirani Zangu. Nianze Kwa Mke/Mume Wangu, Mtoto/Watoto Wangu, Ndugu Zangu, Nyumbani Mwangu, Mtaani Kwetu, Kazini Kwetu, Kanisani Kwetu, Au Mtu Yeyote Yule Wa Karibu Sana Nami;

Yaani Nianze Kuwa Shahidi Yerusalemu, Uyahudi, Samaria Na Hata Mwisho Wa Nchi, Sawa Na Neno Lako.

Tena Ninaomba Uwape Rehema Na Neema, Na Moyo Wa Msamaha Watu Wote, Hasa Wale Niliowakosea Na Kuwakwaza, Ili Waweze Kunisamehe Na Tena Wawe Na Amani Na Wanifurahie Na Wawe Na Amani Nami;

Ninaomba Sawa Na Neno Lako Katika ‘Waebrani 12:14, Kwamba, Tutafute Kwa Bidii Kuwa Na Amani Na Watu Wote Na Huo Utakatifu,

Maana Umesema Tukiyakosa Hayo Hatutakuona Wewe Ee Mungu Wetu Katika Ulimwengu Huu, Na Hata Ule Ujao!

Baba nisaidie, Ninapenda Kukuona Na Kukuabudu Wewe Peke Yako! Ninapenda Kukuona Ee Bwana Yesu, Ninapenda Kukuona Ee, Roho Mtakatifu, Ninapenda Kufika Mbinguni! Ni Wewe Tu Wa Kuniokoa, Kuniponya, Na Kunitengeneza Milele!

Ninakuomba Baba, Unisamehe, Kwa Maana Mimi Ndiye Mkosaji, Kwa Ajili Ya Wale Ninaowafahamu Na Kuwaona Ya Kuwa Wameniudhi Na Kunikosea,

Baba nakuomba Uniwezeshe Kuwasamehe, Nami Ninawasamehe Kabisa! Kama Ni Kweli Wao Ndio Wamenikosea Mimi.

Ninaomba Nguvu Ya Kuwasamehe Kabisa Bila Kinyongo Moyoni, Na Wala Nisiuhesabu Wala Nisikumbuke Kamwe Ubaya Wao Kwangu Milele.

Unisaidie Kusamehe Kwa Namna Kamili Kabisa, Kama Wewe Ulivyotusamehe Na Ulivyoagiza.

Unisaidie Kuwapenda Hata Adui Zangu Wote Kwa Upendo Wako. Asante Baba!

Nakuomba Uniwezeshe Kuwa Na Amani Na Watu Wote, Ile Amani Itokayo Kwako, Amani Ipitayo Kila Akili Na Ufahamu Wote.

Nami Ninatangaza Msamaha Sasa Kwa Wote, Natena Nitatangasa Suluhu! Nami Ninakubali Kuupokea Msamaha Kwa Wote Sasa; Katika Jina La Yesu Kristo!

4.. KUJITAKASA NA DAMU

Ninajitakasa Kwa Damu Ya Yesu Kristo:

Ninajifunika, Pamoja Na Nyumba Yangu, Familia Yangu, Kanisa Lako, Jamii Yangu, Wapendwa Wangu, Mali Zangu Zote, Taifa Langu, Na Kila Uongozi Wa Kikanisa, Kiserikali Na Kidini, Kwa Damu Ya Yesu Kristo;
Sasa Na Kila Wakati Na Popote, Milele Na Milele, Amina.

5.  (TOBA KWA WENGINE)

Ninasimama Na Kuwaombea Watu Wote Toba Na Msamaha Na Utakaso Kwa Damu Yako Ee Bwana Yesu, na mbele Zako Baba, Katika Jina La Yesu Kristo Aliye Hai.

Ninaondoa Kila Lililo Chukizo Mbele Zako Ee Mungu Baba, Kwa Jina La Yesu Na Kwa Damu Takatifu Ya Yesu Kristo:

6..(MANENO  MACHAFU)

  Ninayaondoa Maneno Machafu Yote!
Nikiyafuta Na Kuyaharibu Maneno Yote Mabaya Niliyowahi Kuyatamka Au Yaliyowahi Kutamkwa Dhidi Yangu, Familia Yangu, Kanisa Lako, Jamii Yangu, Na Taifa Langu, Hata Pia Kizazi Chote Katika Ulimwengu Huu;

Ambayo Shetani Anayatumia Dhidi Yangu, Nyumba Yangu, Kanisa Lako, Taifa Langu, Na Kizazi Chote.

Ninaungama Na Kutubu Na Kuyafuta, Maneno Hayo Popote Yalipo. Ardhini, Baharini, Angani, Mwezini, Kwenye Nyota Au Kwenye Jua; Kwa Jina La Yesu Kristo.

Ninaugeuza Ukiri Wangu Mbaya Na Ulio Kinyume Na Maagizo Ya Mungu Ili Uwe Ukiri Mwema Kwa Utukufu Wa Mungu Mwenyezi.

Ninatumia Damu Ya Yesu, Kuyafuta Maneno Ya Ukiri Mbaya Na Wa Kinyume Katika Jina La Yesu Kristo Aliye Hai, Amina!

    7..   MALI ZA KIPEPO

Ninaziondoa Mali Zote Za Mashetani, Mapepo Na Majini Katika Kila Eneo La Maisha Yetu: Katika Jina La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazarethi,

Ninaharibu Kila Kitu Nilicho Nacho Ambacho Ni Mali Ya Shetani,

Ninaviharibu vitu vyote nilivyo navyo za Shetani, Na Vitu Vyote Vyenye Uhusiano Na Shetani, Vyenye Nguvu Za Shetani Ambavyo Nimevinunua Kwa Fedha Zangu Au Kupewa Kama Zawadi,

Na Kila Mahali Ninapopakanyaga Au Kukaa Na Kuishi.

Ninazitakasa Nguo Zangu Zote, Mavazi, Mapambo, Urembo, Manukato, Mafuta Na Vipodozi Vyote; Kwa Damu Ya Yesu Kristo Wa Nazarethi.

Pia Ninaharibu Kila Kitu Na Mahali Popote Katika Ulimwengu Wa Kiroho Na Kimwili, Penye Mfano Wangu, Mali Zangu, Fedha Zangu, Jina Langu, au Sehemu Yoyote Ya Mwili Wangu, kama Kucha, Nywele  Na Yoyote Yanayotokana Na Hayo

Ambavyo Viko Baharini, Angani, Duniani, Kwenye Matumizi Ya Mahekalu Ya Sanamu Au Madhabahu Za Shetani,

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuwaunguza Wajumbe Wote Wa Shetani Walio na Vitu hivyo Vyote Dhidi Yangu, Kanisa LA Mungu, Taifa langu Na Dhidi Ya Jamii Yangu katika jina la Yesu Kristo Wa Nazarethi.

      8..(VIFUNGO)

Ninaviondoa Vifungo Vyote (Katika Moyo Nafsi Na Mawazo)
Katika Jina La Yesu Kristo Wa Nazarethi,

Baba Wa Mbinguni, Ninakuinulia Mkono Wangu Wa Kuume Mimi Mwanao/ Binti Yako … (Taja Jina Lako) Nitazame Bwana Maana Nguvu Na Uwezo Wote Unatoka Kwenye Kiti Chako Cha Enzi Kama Ilivyoandikwa Katika Zabauri 52:11-12.
Kusema ”Mara Moja Amenena Mungu Mara Mbili Nimeyasikia Haya, Ya Kwamba Nguvu Zina Mungu Na Fadhili Ziko Kwako Ee Bwana,

Maana Ndiwe Umlipaye Kila Mtu Sawa Sawa Na Haki Yake.

Baba Wa Mbinguni , Ninapokea Nguvu Kutoka Kwako Sasa Katika Jina La Yesu.

Ninatumia Nguvu Hizi Kufuta, Kuvunja, Kuharibu Na Kujitenga Mwenyewe Kutoka Kwenye Laana Zote Na Maagano Yote Yaliyofanywa Dhidi Yangu.

Ninaamuru Laana Zote Pamoja Na Mapatano Na Mazindiko Yaliyofichwa Popote Dhidi Ya Maisha Yangu, Kujidhihirisha Sasa Katika Jina La Yesu.

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Na Damu Ya Yesu Kuwadhihirisha Majeshi Ya Pepo Wabaya, Majini, Mashetani, Na Maadui Zangu Wote. Ninaziharibu Nguvu Zote Za Giza Na Za Mapepo Katika Jina La Yesu Kristo-Amen.

  9.. DHAMBI ZA MABABU)

Ninaziondoa Dhambi Zote Za Mababu:
Baba Wa Mbinguni Ninaleta Dhambi Zote Za Mababu Zangu Mbele Zako.

Ninazitubu Na Kuziungama Dhambi Zao Zote, Kwa Maana Walikutenda Dhambi, Na Ya Kuwa Zimekuwa Pando Usilolipanda Baba, Shina La Uchungu Limealo Na Kuleta Mabaya Kwa Wengi, Na Hata Kwa Kizazi Na Kizazi Na Kwa Wote Leo Hii.

Ninaziungama Dhambi Zao Zote Za Chuki, Hasira, Kuuwa Binadamu Wenzao, Kuabudu Sanamu, Kuwauza Na Kuwanunua Wanadamu, Kutoa Kafara Za Damu Za Watu Kwa Miungu Na Kwa Sanamu, Kula Nyama Za Watu Na Kila Matendo Mengine Ya Kishetani Walioyafanya.

10..(DHAMBI ZA WAZAZI)

Baba Pia Ninaungama Dhambi Za Wazazi Wangu Na Uovu Wao Walioutenda Mbele Zako.

Baba Ninakusihi Uwe Na Rehema Katika Jina La Yesu Kristo,

Ninawasamehe Makosa Yote Waliyonitendea Katika Jina La Yesu.

Ninaomba Uzisahau Dhambi Na Makosa Na Uovu Wao Wote.

Kwa Hiyo Ninajitenga Na Kuwatenga Wote Wa Leo Kutoka Kwenye Adhabu Ya Makosa Hayo, Katika Jina La Yesu.

11. ( DHAMBI ZA WAHENGA)

Ninaziondoa Dhambi Na Laana Za Wahenga (Wakale)
Katika Jina Lenye Nguvu Na Uweza La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazarethi;

Ninazitubu Dhambi Zilizofanywa Na Hao Wazee Wetu Wa Kale (Wahenga) Ambazo Kwa Hizo Laana Imenipata Na Kuniandama Hata Leo Hii, Mimi Na Uzao Wangu.

Ninazivunja Na Kuziharibu Laana Zote Zilizosababishwa Na Uovu Wowote Walioufanya;

Ninaziharibu Kwa Jina La Yesu Kristo Wa Nazarethi, Laana Zote, Mapatano Na Matambiko Katika Upande Wa Baba Yangu Na Mama Yangu, Baba Mkwe Na Mama Mkwe Wangu Na Ndugu Zangu Wote;

Ninaziharibu Na Kuzivunja Katika Jina La Yesu.

Bila Kujali Ni Aina Gani Ya Laana Iliyowekwa Juu Yangu; Bila Kujali Ni Maagano Gani Wahenga Wangu Wamefanya Na Shetani; Na Bila Kujali Ni Wapi Wamefanya Mambo Ya Matambiko, Mazindiko Juu Yangu, Iwe Angani, Ardhini, Baharini, Ninayaharibu Yote Katika Jina La Yesu, Amina.

12.  (DHAMBI ZA WAKWE)

Pia Ninazivunja Laana, Maagano Na Matambiko, Niliyofanyiwa Na Baba Yangu Na Mama Yangu Na Wakwe Zangu, Pamoja Na Wazazi Wao (Babu Na nyanya) Kutoka Kizazi Chochote Kwa Upande Wa Baba Yangu Na Mama Yangu, Na Wakwe Zangu,

Bila Kujali Laana, Matambiko, Mazindiko, Mapatano Na Ushirikina Na Ushirikiano Uwao Wote Yalifanyika Wapi.

Ninaamuru Yote Kuvunjika Na Kuharibiwa Katika Jina La Yesu Kristo, Amina.

       13..LAANA ZA     
       KUJISAMBABISHIA

Ninaziondoa Dhambi Na Laana Zote Kutoka Kwangu Mwenyewe,
Katika Jina La Yesu Kiristo,

Ninakwenda Kinyume Na Laana Zote Nilizozisababisha Mimi Mwenyewe, Juu Ya Maendeleo Yangu Na Maisha Yangu, Kwa Kujua Na Kutokujua.

Ninakuondoa Wewe Dhambi Na Uchungu Wako, Na Ninakuvunja Wewe Laana Popote Pale Ulipojificha, Katika Roho Yangu, Katika Mwili Wangu, Katika Nafsi Yangu, Angani Duniani Na Baharini, Ninakuharibu Na Kuzivunja Nguvu Zako Zote Katika Jina La Yesu.

Ninakuja Kinyume Cha Maagano Niliyoyafanya Kwa Uchawi, Ushirikina Na Kwa Namna Yoyote Ile, Na Miungu Ya Sanamu, Pepo Wachafu, Maruahani, Majini Bahari, Waume Wa Kipepo, Wake Wa Kipepo, Watoto Wa Kipepo, Familia Za Kipepo Na Mizimu N.K Katika Jina La Yesu,

Mazindiko Yote Niliyojifanyia, Ninayaharibu Yote. Ninajiondoa Katika Mazindiko Hayo.

Ninalifuta Jina Langu Kwenye Kitabu Cha Shetani Na Kumbukumbu Zake Zote, Na Katika Kitabu Cha Mauti Na Kuzimu.

Ninajitangazia Uhuru Sasa, Katika Jina La Yesu Amen.

Ninajifunika Kwa Damu Ya Yesu Kristo Wa Nazarethi, Mwana Wa Mungu Aliye Hai. Amina!

  14. KUTOKUMTII MUNGU

Ninaziondoa Dhambi Na Laana Zote, Kutokana Na Kuto Mtii Kwangu Mungu

Ninaziungama Na Kuzitubu Dhambi Zangu Zote; Kutokutoa Zaka(Fungu La Kumi), Kutokutimia Ahadi Na Nadhiri Nilizoahidi Mbele Za Mungu, Kusema Maneno Mabaya Juu Wa Watumishi Wa Mungu Na Waliookoka, Uzushi, Hisia Mbaya Na Dhamiri Mbaya Kwa Watu, Kutokuwatunza Wa Nyumbani Mwangu, Kutowajali Yatima Na Wajane, N.K. Kwa Jina Lako Baba, Katika Jina La Yesu,

Ziondoe Laana zote (Malaki 3: 8-12) Parare, Nzige, Tunutu Na Viwavi Kutoka Kwangu. Ninyeshee Mvua Za Mwanzo Na Za Mwisho. Nijaze Tena Baraka Zako, Katika Jina La Yesu, Amen.

    15.  MAAGANO NA ADUI

Ninaiondoa Kutoka Kwa Shetani Na Wajumbe Wake, Mikataba, Uharibifu, Laana, Na Utumishi Wote.
Katika Jina La Yesu

Ninavunja Na Kuzimisha Laana Zote. Maagano Na Mazindiko Ya Shetani Na Wajumbe Wake Walio Dhidi Yangu. Ninaharibu Uchawi, Laana, Na Maagano Kutoka Kwa Miungu Yote Ya Uongo, Wachawi Waganga Wa Kienyeji, Na Majini Ya Bahari, Mizimu, Waume Au Wake Wa Kipepo, Watoto Wa Kipepo, Makazi Ya Kipepo, Mali Za Kipepo, Kutoa Mimba, Kujichua, Kukosa Nguvu Za Kiume/Kike, Utasa, Ugumba, Kutiwa Maji, Mikutano Ya Wachawi, Mahekalu Ya Kipepo, Kutoka Angani, Nchi Kavu Na Baharini (Hes.22).

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuteketeza Na Kuiharibu Mipango Yote Iliyopangwa Dhidi Yangu, Katika Jina La Yesu Kristo Wa Nazarethi, Amen.

  16..  KWA AJILI YA NCHI

Ninaiondoa Dhambi Na Laana Ya Nchi
Katika Jina La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazarethi

Ninaiondoa Dhambi Na Laana Ya Nchi Yangu, Mji Wangu, Na Kijiji Changu Ninavunja Laana Zote, Matambiko Maagano Na Mazindiko Yaliyofanywa Dhidi Ya Watu Wote, Wenye Mamlaka, Wakuu Wa Serikali, Vyama, Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama Na Vyombo Vya Habari Na Mawasiliano; Na Ninaharibu Nguvu Zote Zilizofanyika Dhidi Yao, Katika Jina La Yesu Kristo.

Ninaivunja Laana Ya Mauti, Kichaa, Tamaa, Umaskini, Masongwa, Kutaka Kujua(Udadisi), Kuvunjika Kwa Ndoa, Utasa, Kutokuoa, Au Kutokuolewa, Ushirikina, Udini, Udhehebu, Imani Potofu, Ujinga, Dhuluma, Wizi, Ujambazi, Rushwa, Ubakaji, Matusi, Magomvi, Mapigano, Migomo Makazini, Shuleni, Mitaani, Na Katika Vyombo Vya Dola! Kunyanyaswa, Kuonewa, Kukata/Kujikata Viungo Vya Mwili, Imani Potofu, Kutaka Kujiua, Vita Na Umwagaji Wa Damu Isiyo Na Hatia(Mauti), Uchafu Na Ufisadi Wote, N.K.

Ninajitenga Sasa Kutoka Kwenye Laana Hizo Zote, Maagizo Na Mazindiko Katika Jina La Yesu, Amen.

Ninaharibu Nguvu Zote Na Mipango Ya Wachawi, Washirikina, Miungu Ya Uongo, Miti Mibaya, Mto, Mapori Mabaya N.K Katika Taifa Langu, Wenye Mamlaka Na Viongozi Wa Kiserikali, Viongozi Wa Kimila Na Kidini, Mji Wangu Na Kijiji Changu.

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuviharibu Vyote Katika Jina La Yesu, Amen.

  17.. MAAGANO YA NCHI

.Ninaondoa Kila Aina Ya Mapatano Na Makubaliano

Ninavunja Maagano Na Mazindiko Yaliyofanywa Kwa Ajili Yangu, Nchini Na Baharini Pia Ninaharibu Maagano Na Mazindiko Yaliyofanywa Kwa Niaba Yangu Kwa Miungu Ya Uongo, Miti, Mivinjo (Shrine) Mito Na Vijito.(Ninafunga Na Kuharibu Mito Yote Mibaya, Miungu Ya Uongo, Vijito Na Wachawi) Katika Kijiji Changu Au Mji Wangu,

Ninajitenganisha Sasa Kutoka Kwenye Laana Hizo, Maagano Na Mazindiko Katika Jina La Yesu, Amen.

    18..  ROHO CHAFU

Ninayaondoa Mashambulizi Ya Waziwazi Na Ya Ndoto
Katika Jina La Yesu Wa Nazarethi Ninavunja Nguvu Zote Za Giza Dhidi Yangu Zinazokuja Waziwazi Na Ndotoni.

Ninayafunga Na Kuyatupa Mapepo Yote Yanayonishambulia Waziwazi Na Kwa Njia Ya Ndoto.

Ninakuja Kinyume Na Ndoto Zote Za Kipepo Dhidi Ya Maisha Yangu. Ninawakemea,

Ninafunga Na Kuyaharibu Mapepo Yote Yanayonipa Na Kuwapa Watu Chakula Kwenye Ndoto, Wanawake Na Wanaume Wa Kipepo Wanaokuja Ili Kufanya Mapenzi Nami Au Na Watu Wengine Katika Ndoto, Mahoka Yote, Yanayokuja Katika Ndoto, Mapepo Yote Yanayofanya Kuogelea Kwenye Mto, Mapepo Yote Ya Kuoana Nami Au Watu Katika Ndoto,(Majinamizi).

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuwateketeza Wote Katika Jina La Yesu, Amina. Katika Jina La Yesu Kristo Wa Nazarethi,

Ninazivunja Kazi Na Nguvu Za Roho Zozote Chafu Juu Yangu, Roho Ya Kiburi, Hasira, Uchungu, Kukataliwa, Makosa, Uasi, Uvivu, Chuki, Mashaka, Kuchanganyikiwa, Kujidharau, Kutokuamini, Anasa, Ukaidi, Mashindano, Mateso, Umaskini, Ukosefu Wa Usingizi, Mauti, Uoga, Uongo, Kutokusamehe, Uasherati, Uzinzi, Uchafu, Kutokutii, Wivu, Uuwaji, Ulevi, Ujinga, Usahaulifu, Bumbuwazi, Matusi, Kutokujali Na Kupuuzia Mambo Ya Mungu, N.K

Ambao Zinanikandamiza Roho Yangu, Nafsi Yangu, Moyo Wangu, Mawazo Yangu Na Hali Ya Mazingira Yangu.

Ninazikemea Na Kuzifunga, Na Kuzitoa Nje Roho Hizo Kwa Jina la Yesu.

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuwateketeza Wote Popote Pale Mlipojificha, Angani, Nchini Na Baharini.

Ninatumia Damu Ya Yesu Kristo Ya Agano La Milele, Kujifunika Milele Ili Msiweze Kurudi Tena Kwangu Milele, Katika Jina La Yesu, Amen.

       19.. LAANA ZA FAMILIA

Ninaziondoa Sherehe Za Miji Na Mila Za Kifamilia
Katika Jina La Yesu Kristo

Ninazikemea Na Kuziharibu Mila Zote Za Kipepo Sherehe Na Matukio Yanayotendeka Na Jamii Yangu Au Mji Wangu.

Ninayaharibu Mapepo Yote Yanayoabudiwa Katika Sherehe Hizo,

Ninatumia Damu Ya Yesu Kutangaza Vita Na Ushihi Wa Milele Dhidi Yenu Katika Jina La Yesu.

>>>>(Kumbuka, Ujiepushe Kushiriki Sherehe Hizo Maana Kwa Kufanya Hivyo Utakuwa Unayapendeza Mapepo Hayo Na Kuyaabudu.)<<<

Ninajitenga Kabisa Mwenyewe Na Laana, Maagano, Mikataba, Ushirikina Na Mazindiko Yote:

   20..  KUJIWEKA HURU

Baba Wa Mbinguni, Ninajishusha Na Kujitenganisha Na Laana Zote, Maagano, Mazindiko N.K Niliyofanyiwa;
Mimi Niko Huru Sasa,
Hivyo Ninayo Haki Ya Kuchagua Nitakayemtumikia.

Ninachagua Kumtumikia Baba Wa Mbinguni, Yesu Kristo Na Roho Mtakatifu; Milele!

Mimi Ni Kiumbe Kipya Na Ni Mpya Kila Siku Ya Maisha Yangu.

Roho Mtakatifu Yu Juu Yangu Sasa.

Ninayaweza Mambo Yote Katika Yesu Kristo Anitiaye Nguvu

(Fil 4:13) Neno La Mungu Linasema “Kwa Maneno Yako Utahesabiwa Haki Na Kwa Maneno Yako Utahukumiwa”. (Mathayo. 12:37)

Baba Nifanye Kuwa Na Haki Kwa Maneno Ya Kinywa Changu Kwa Kuwa Uzima Na Mauti Vimo Katika Uwezo Wa Ulimi (Mithali 10:21).

Basi Mwana Akiwaweka Huru, Mtakuwa Huru Kwelikweli (Yohana. 8:36)

Kamwe Sitateswa Tena Na Shetani Pamoja Na Wajumbe Wake Kwa Maana Mimi Tayari Niko Huru, Katika Jina La Yesu Kristo. Amen.

Ninajifungua Na Ninajiweka Huru Sasa Na Hata Milele!
Katika Jina La Yesu,

Ninavunja Nguvu Zote Za Giza Zilizonifunga.

Ninajiweka Huru Kutoka Kwenye Nguvu Za Giza Dhidi Yangu.

Ninajiweka Huru Kutoka Kwenye Vifungo Vya Uchawi, Waume Wa Kipepo, Wake Wa Kipepo, Watoto Wa Kipepo, Makazi Ya Kipepo, Mali Za Kipepo, Mapepo Ya Kurithi, Majini Bahari, Maruhani, Misukule Na Mizimu, Subiani, Maruani, Zakuani, Makata, Ulemavu, Ajali, Mikosi, Laana, Umasikini, Magonjwa Yote! N.K.

Sikiliza Enyi Nguvu Za Giza, Imeandikwa Katika Kitabu Cha Matayo 18:18 Kusema, “Amini Nawaambia Yoyote Mtakayoyafunga Duniani Yatakuwa Yamefungwa Mbinguni Na Yoyote Mtakayo Yafungua Duniani Yatakuwa Yamefunguliwa Mbinguni”.

Ninasimama Juu Ya Neno Hili Na Kujifungua Kutoka Kwenye Aina Zote Za Giza Na Nguvu Zote Za Kipepo Katika Jina La Yesu, Amen!

Ninazivaa Silaha Za Mungu Na Mamlaka Ya Kimungu, Sasa Na Hata Milele, Kwa Jina La Yesu.

21..   KUKIRI NENO

Ninakiri Neno Lako Hili Ee, Mungu.

Imeandikwa Katika Matayo 16:19,

Nitakupa Wewe Funguo Za Ufalme Wa Mbinguni Na Lolote Utakalo Lifunga Duniani Litakuwa Limefungwa Mbinguni Na Lolote Utakalo Lifungua Duniani Litakuwa Limefunguliwa Mbinguni.

Baba Sasa Ninazipokea Funguo Zote Za Ufalme Wa Mbinguni Ili Kufungua Milango Ya Mambo Yasiyowezekana Chochote Nitakacho, Nitakacho Kifungua Sasa Kitafunguka Milele Katika Jina La Yesu, Amen.

.Imeandikwa Katika Wafilipi 4:13 –

Nayaweza Mambo Yote Katika Yesu Kristo Anitiaye Nguvu. Katika Jina La Yesu, Amen.

.Imeandikwa Katika Luka 1:37, –

Kwamba Hakuna Neno Lisilowezekana Kwa Mungu.
Baba Upo Pamoja Nami Sasa Na Hakutakuwa Na Chochote Ambacho Hakitawezekana Kwangu Katika Jina La Yesu-Ameni.

Imeandikwa Katika Zekaria 4:6, ”Si Kwa Uwezo Wala Si Kwa Nguvu Bali Ni Kwa Roho Yangu Asema Bwana Wa Majeshi”
Baba Vita Si Vya Kwangu Bali Ni Kwa Roho Yako Utanipigania Katika Jina La Yesu-Amen!

Katika Isaya 41:10, Imeandikwa, Usiogope Kwa Maana Mimi Ni Pamoja Nawe, Usifadhaike Kwa Maana Mimi Ni Mungu Wako, Nitakutia Nguvu, Naam Nitakushika Kwa Mkono Wa Kuume Wa Haki Yangu.

Baba Ninakushukuru Kwa Kuwa Upo Pamoja Nami Kwa Ajili Ya Kunitia Nguvu, Kunisaidia, Kunishika Na Kuwa Mungu Wangu, Moyo Wangu Umetiwa Nguvu, Katika Vita Hii Katika Jina La Yesu, Amen!

(28) Imeandikwa Katika Zaburu 105: 15, , Msiwaguse Masikini Wangu Wala Msiwadhuru ”Masihi Wangu”
Nimefunikwa Kwa Damu Ya Yesu Kristo Na Upako Wa Roho Mtakatifu, Shetani Huwezi Kunigusa Kwa Sababu Mimi Ni Mpakwa Mafuta Na Nabii Wa Mungu,

Maisha Yangu Yako Mikononi Mwa Yesu Kristo Na Ninayo Chapa Yake. Nimetiwa Muhuri Wa Roho Mtakatifu Usinitaabishe Tena, Katika Jina La Yesu Amen!

Katika Isaya 54:17, Imeandikwa, Kila Silaha Itakayo Fanyika Juu Yako Haitafanikiwa Na Kila Ulimi Utakaoinuka Juu Yako Katika Hukumu Utauhukumu Kuwa Mkosa.

Huu Ndio Urithi Wa Watumishi Wa Bwana Na Haki Yao Inayotoka Kwangu Mimi, Asema Bwana.

Katika Jina La Yesu Kristo
Ninaharibu Kila Silaha Ya Shetani Iliyofanywa Dhidi Yangu, Silaha Ya Kiroho Au Ya Kimwili

Ninaulaani Na Kuufunga Kila Ulimi Utakaoinuka Dhidi Yangu Katika Hukumu, Kwa Kuwa Huu Ni Urithi Wangu Kama Mtumishi Wa Mungu, Ni Haki Yangu Kwa Bwana.

22.KUALIKA UWEPO MUNGU

Ninakualika Na Uwepo Wako Na Nguvu Zako, Ee, Mungu.
Katika Jina Kuu Linalotikisa Falme Na Mamlaka La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazareth, Katika Jina Litendalo Maajabu La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazarethi,

Baba Wa Mbinguni; Ninaita Uwepo Wako Mahali Hapa, Ninaita Uwepo Wa Bwana Yesu Kristo Wa Nazareti. Asante Mungu Yesu Kristo Na Roho Mtakatifu Kuniunga Mkono Katika Vita Hivi Katika Jina La Yesu Kristo Amen.

     23..KUMUALIKA ROHO
                MTAKATIFU

Ninakualika Roho Mtakatifu Ukae Ndani Yangu Nami Ndani Yako, Unijaze Na Kunitumia Upendavyo.

Roho Mtakatifu Ninaomba Uwe Pamoja Nami Katika Vita Dhidi Ya Shetani Na Wajumbe Wake.

Roho Mtakatifu Wewe Ni Mfariji Wangu. Pigana Vita Hivi Kwa Ajili Yangu Na Unifariji Katika Jina La Yesu.

Siwezi Kuomba Kama Vile Uombavyo Wewe.

Nakusihi We Roho Mtakatifu Sema Sasa Ukitumie Kinywa Changu Katika Jina La Yesu.

Ninakuomba Uweke Mamlaka Na Uweza Wako Katika Moyowangu Na Kinywa Changu.

Roho Mtakatifu Uniongoze Na Unilinde, Unifundishe Jinsi Ya Kuomba Nitumie Kama Shoka Lako Katika Vita Hivi, Dhidi Ya Shetani Na Wajumbe Wake.

Roho Mtakatifu Wewe Ni Mfariji Wangu. Pigana Vita Hivi Kwa Ajili Yangu Na Unifariji Katika Jina La Yesu

Siwezi Kuomba Kama Vile Uombavyo Wewe. Nakusihi Sema Sasa Ukitumia Kinywa Changu Katika Jina La Yesu.

Roho Mtakatifu Uniongoze Na Unilinde, Unifundishe Jinsi Ya Kuomba, Kuzungumza Vizuri Na Watu, Kushuhudia, Kufundisha Neno La Mungu Na Katika Kuhubiri Neno La Mungu; Na Katika Kukemea Kwa Mamlaka Kila Kazi Na Na Nguvu Za Shetani Na Pepo Wabaya Na Watu Waovu;

Nitumie Kama Shoka Lako Katika Vita Hivi Vya Adui. Uje Kwangu Na Kwa Kanisa Lako Katika Nguvu Na Uweza Wako Na Ukaonyeshe Ukuu Wako Dhidi Ya Shetani Na Wajumbe Wake, Ili Wote Wahame Na Kuacha Huru Tukimuabudu Mungu Baba, Mwana, Na Wewe Ee, Roho Mtakatifu;

Simama Sasa Tamalaki Sasa Na Utende Kwa Nguvu Za Uweza Wako; Ni Katika Jina La Yesu Kristo Wa Nazareth, Amen.

24…MAJESHI YA MALAIKA

.. Ninaviruhusu Vikosi Vya Majeshi Ya Malaika Watakatifu Wa Mungu Aliye Hai Milele Na Milele;

Wawe Katika Vita Upande Wangu.
Katika Jina Lenye Nguvu La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazarethi.

Ninyaruhusu Na Kuyaamuru Majeshi Ya Malaika Wa Vita Kutoka Ufalme Wa Mungu;

Ninawaamuru Enyi Malaika Wote Kukaa Kwenye Nafasi Zenu Dhidi Ya Shetani Na Mapepo Yote,

Sambaeni Kila Mahali Sasa, Mjieneze Katika Anga, Nchi Na Bahari, Na Muangamize Nguvu Zote Za Giza Katika Anga, Nchi Kavu Na Baharini Mpigeni Shetani, Majini, Wachawi Na Majeshi Ya Pepo Wabaya Bila Kukoma,

Haribuni Mipango Yote Waliyoifanya Dhidi Yangu, Familia Yangu, Taifa Langu, Jamii Yangu, Kanisa La Mungu Na Watu Wote.

Ninawamuru Enyi Malaika Na Bwana Mnizunguke Kama Wigo Sasa Na Milele. Mnizunguke Mimi, Familia Yangu, Jamii Yangu, Taifa Langu, Kizazi Hiki, Na Kanisa La Mungu Aliye Hai; Katika Jina La Yesu Kristo-Amen.

  25… DAMU YA YESU

Ninaialika Damu Ya Yesu Kristo
Ninajifunika Kwa Damu Ya Yesu Kristo.

Ninawaloweka Watu Wa Familia Yangu, Ndugu Zangu, Nyumba Yangu, Ofisi Yangu, Chakula Changu, Fedha Zangu, Kiwanja Changu, Rafiki Zangu, Majirani Zangu, N.K Katika Damu Yenye Nguvu Ya Yesu Kristo Wa Nazareth.

Ninalifunika Anga Lote, Nchi Yote Na Bahari Yote Kwa Damu Ya Yesu Kristo;

Shetani Imeandikwa Katika Ufunuo 12: 11 ”Nao Wakamshinda Shetani Kwa Damu Ya Mwanakondoo Na Kwa Neno La Ushuhuda Wao

” Nimetumia Damu Ya Yesu Kukushinda Sasa Na Hata Milele Katika Jina La Yesu!

26..KUMKEMEA SHETANI

Ninamshughulikia Shetani, Kazi Zake, Na Majeshi Yake Yote.

Ninazifunga, Kuziharibu, Na Kuutupilia Kuzimu Ulinzi Wote Wa Kipepo (Evil Spirit Guards)

Ninayafunga Kwa Minyororo Na Kuyatupa Katika Shimo La Giza Mapepo Ya Ulinzi Yanayolinda Laana Za Maagano, Mazindiko, Uchawi Ushirikina Na Mahirizi, Udhaifu, Magonjwa, Uchungu, Huzuni, Mashaka, Kutokuamini, Upumbavu, Ujinga, Kuchanganyikiwa, Ukichaa, Uharibifu, Tamaa, Hisia Mbaya, N.K Dhidi Ya Maisha Yangu Kanisa La Mungu, Taifa Langu, Ukoo, Jamii Mtaani Kwangu N.K..

Ninaziharibu Hati Za Makubaliano, Mashitaaka, Na Ninawafunga Wote Katika Giza La Milele.

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuwatesa Mchana Na Usiku Katika Jina La Yesu,

Pale Yatapojaribu Kunigusa, Kumgusa Yeyote, Na Kugusa Chochote Katika Maisha Yetu.

Ninaitumia Damu Ya Yesu Kuziba Nafasi Mlizokuwa Mmekalia, Katika Roho, Mwili, Nafsi, Angani, Ardhini, Baharini, Katika Mito, Katika Uongozi Serikalini, Mashuleni, Vyombo Vya Dola, Makazini, Mahospitalini Na Vituo Vya Afya, Makanisani, Misikitini Na Majumbani; Katika Wanyama, Vitu, Sanamu, Midoli, Milimani, Misituni N.K. Kwa Jina La Yesu mwana Wa Mungu Aliya Hai!, Amen.

27…KUFUNGA MAPEPO

b. Ninayafunga, Ninayaharibu, Na Kuyatupilia Kuzimu; Mapepo Yote Yanayopinga Na Kuzuia Maombi, Kusifu Na Kuabudu Makanisani Na Katika Maisha Ya Watu Wa Mungu.
Katika Jina La Bwana Wangu Yesu Kristo;

Ninakemea, Ninafunga Na Kuyaangamiza Mapepo Yote Yanayozuia Maombi Na Majibu Ya Maombi – Katika Ulimwengu Wa Kiroho Na Kimwili, Angani, Katika Nchi Na Baharini.

Pia Ninamharibu Kila Pepo Anayeninginia, Kila Pepo Arukaye Na Wale Walionyimwa Chakula. Ninawatupa Hadi Kuzimu Katika Jina La Yesu.

Ninaviharibu Vipingamizi Vyenu Vyote Vya Maombi Na Majibu Ya Maombi Yangu Na Ya Kanisa,

Ninawatupa Katika Giza La Milele. Ninawafungia Huko Hata Siku Ya Bwana Ya Hukumu.

Pia Ninayakemea, Na Kuyafunga Na Kuyaharibu Mapepo Yote Yanayozuia Ukombozi Wangu, Familia, Kizazi Hiki, Taifa, Kanisa, Mafanikio Yangu Na Miujiza. Ninaziharibu Kazi Zenu Dhidi Ya Maisha Yangu,
Ninawatupa Wote Katika Giza La Milele Na Kamwe Msiweze Kuinuka Tena Hata Siku Ya Hukumu Ya Bwana.

Ninawatumia Moto Wa Roho Mtakatifu Na Damu Ya Yesu Kuwateketeza Wote Katika Jina La Yesu Kristo, Amen!

28..MFUNIKO WA SHETANI

c. Ninauondoa Ukungu Wa Kipepo
Ninatumia Moto Wa Roho Mtakatifu Na Damu Ya Yesu Kuharibu Ukungu Wa Kipepo Unaofunika Anga, Ardhi, Ndani Ya Kanisa, Katika Roho, Katika Nafsi, Na Katika Miili.

Ninaharibu Kila Mfuniko Ambao, Umenifunika Na Kulifunika Kanisa Na Taifa, Na Kizazi Hiki, Katika Jina La Yesu Kristo, Amen.

Ninaharibu Kila Kifuniko, Minyororo, Mafundo Na Uchawi Dhidi Yangu. Ninauamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuviteketeza Vyote Na Kuvifanya Majivu Kabisa.

Ninauzimisha Moshi Wa Shetani Kwangu, Dhidi Ya Maombi Yangu. Ninatumia Damu Ya Yesu Kuviharibu Vyote, Katika Jina La Yesu, Amen.
 
29..  MITANDAO YA KIPEPO

Shetani, Imeandikwa Katika Kitabu Cha Luka 1:13 Kusema ”Hakuna Lisilo Wezekana Kwa Mungu.

(d)… T. V. Za Kipepo (Spiritual Screens), Transimita, Rada, Simu, Satelaiti…

Ninazivunja Vipande Vipande T. V Zote Za Kipepo Na Darubini Za Kipepo,

Ambazo Shetani Anazitumia Kunifuatilia Na Kulifuatilia Kanisa La Mungu. Ninavunja Vioo Vyote Vya Kipepo, Mikanda Ambavyo Shetani Amevitega Dhidi Yangu Na Kanisa La Mungu.

Ninayakemea Ninayavunja Na Kuyaamuru Mapepo Yote Ya Angani Na Duniani Yapate Kuniachia Na Kuliachilia Kanisa Kwa Jina La Yesu. Amen.

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuwateketeza Wote.

Ninafunga Wote Kwa Ufunguo Wa Hukumu Na Msiinuke Kamwe Hadi Siku Ya Bwana Ya Hukumu.

Nisikilize wewe Shetani Imeandikwa Katika Isaya 54:17 Kwamba Hakuna Silaha Itakayofanyika Dhidi Yangu Ambayo Itafanikiwa, Na Kila Ulinzi Utakaoinuka Juu Yangu Nitauhukumu Kwa Makosa.

Ninasimama Juu Ya Neno Hili Na Ninazilaani Silaha Zako Zote Ulizozifanya Dhidi Yangu, Nitaziharibu Kwa Jina La Yesu, Amen!

(e).. Ninaifunga Mitandao Mingine Yote Ya Kipepo (Ndege, Simu, Satelaiti, Intaneti, Vifaru, Roketi/ Radi/Pisto)

Ninakufunga Shetani Na Kazi Zako Zote Kwa Jina La Yesu

Ninakukemea Shetani, Ninakwenda Kinyume Chako Kwa Damu Ya Yesu Na Kwa Moto Wa Roho Mtakatifu.

30..KURUDISHIWA

Shetani mimi Nimekushinda. Ninaukanyanga Ufalme Wako.

Ninakunyang’anya Kila kitu Kilicho Changu.

Ninakuamuru Kuviacha Vitu Vyangu Milele, Katika Jina La Yesu.

Mimi Ni Balozi Wa Bwana, Mimi Ni Masihi Wa Bwana Yesu Kristo Amenipa Nguvu, Mamlaka Na Uwezo Wa Kuzikanyaga Nguvu, Mamlaka Na Uwezo Wako Wote Shetani, Wala Hakuna Kitakacho Nidhuru.

Kumbuka Imeandikwa Katika Zaburi 105:15 Kusema Usimguse Masihi Wangu Na Wala Usimdhuru Nabii Wangu; Malaika Wa Bwana Wananizunguka Damu Ya Yesu Imenifunika Na Imo Ndani Yangu, Roho Mtakatifu Yu Ndani Yangu Na Amenipaka Mapaka Mafuta, Hivyo Ninao Upako Wa Roho Mtakatifu; Hakuna Silaha Yako Yoyote Wala Ya Majeshi Yako Ya Pepo Wabaya, Wajumbe Wa Giza Au Hata Ya Uharibifu Wako; Itakayofanyika Juu Yangu Itakayofanikiwa. Na Kila Ulimi Utakaoinuka Juu Yangu Katika Hukumu, Ninauhukumukua Ni Mkosa, Kwa Jina La Yesu Utelete! Nisikilize Shetani,

Mimi Ni Kapteni Wa Jeshi La Bwana Ninasikiliza Amri Kutoka Kwa Amiri Jeshi Wangu Tu Yesu Kristo Wa Nazareti, Ambaye Vyote Viliumbwa Kwa Yeye,

Ninakuamuru Uhame Katika Jina Lipitalo Majina Yote, Yesu Kristo Wa Nazareti Popote Pale Unapojificha, Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Ukuunguze Usiku Na Mchana Hata Milele. Amina!
  
31..KUFUNGA FALME

. Ninazifunga Falme Na Mamlaka , Wakuu Wa Giza/Anga, Majeshi Ya Pepo, N.K.

Ninazikemea, Ninazifunga Na Kuziharibu Falme Na Mamlaka Ya Wakuu Wa Giza Hili, Majeshi Ya Pepo Wabaya Katika Ulimwengu Wa Roho.

Ninaamuru Moto Wa Roho Mtakatifu Kuwateketeza Wote, Katika Jina La Yesu.

Ninawagonga Wachawi Wote, Majini, Mizimu, Majini-Baharini, Wakuu Wa Giza, Roho Wa Udhaifu Na Roho Chafu Zote Zilizo Dhidi Ya Maisha Yangu Na Maendeleo Yangu Na Dhidi Ya Kanisa La Mungu, Na Taifa Zima.

Ninayaaharibu Maficho Yako Na Kila Mbinu Unayoitumia Kujihami  na Kwa Moto Wa Roho Mtakatifu
Ninawateketeza Wote Katika Jina La Yesu.

Ninawatupa Wote Kuzimu Ninawafungia Katika Giza Milele Ninawafungia Wote Hata Siku Ya Hukumu Ya Bwana Na Wala Msiinuke Tena, Katika Jina La Yesu, Amen.

. Ninazifunga Nguvu Za Dhambi Zote Za Kuambukiza.

   
   32..   KUTAKASA

. Ninazitakasa Kwa Damu Ya Yesu Madhabahu Zote Za Ibada, (Mioyo Na Nyumba Za Ibada Na Wahudumu Wote)

-Ninaalika Moto Wa Roho Mtakatifu Uende Katika Misikiti, Makanisa, Mabaa, Madanguro Ya Ukahaba, Katika Chaneli Zote Za Intaneti, Simu Na Redio, Katika Studio Zote Za Redio, Tv, Picha, Miziki, Kwaya, Katika Viwanda Vya Vyakula Na Mavazi, Katika Viwanda Vya Ushonaji Nguo Na Ubunifu Wa Mitindo Ya Mavazi, Vipodozi, Na Katika Maduka Na Maeneo Yote Ya Biashara; Ikiwemo Katika Mahoteli, Sokoni, Mashambani, Na Madukani; Katika Barabara Kuu Na Katika Njia Panda Zote! Kwa Jina La Yesu Kristo Mwana Wa Mungu Aliye Hai,

Kazi Zote Za Shetani, Wajumbe Wa Kuzimu Mapepo Na Roho Zote Zihamishwe, Ziharibiwe, Na Ninazitupia Kuzimu Zifungwe Zisiletwe Tena Duniani! Ninazialika Nguvu Za Mungu Na Ushuhuda Wa Roho Mtakatifu Pamoja Na Miujiza Ya Mungu Aliye Hai Milele Na Milel Ikatawale Katika Jina La Yesu Kristo Mwana Wa Mungu Aliye Hai Mile Na Milele Amina!
  
33.. KUSIFU NA KUABUDU

Sasa – Ninakusifu, Ninakuabudu, Na Kukuinua Mungu Wangu Uliye Hai, Katika Jina La Yesu.

Ni Kwa Neema Yako Mungu Katika Roho Mtakatifu Na Kupitia Bwana wetu Yesu Kristo;
Sasa Niko Tayari, Kukusifu, Kukuinua, Kukuabudu.

Kwa Maana Wewe Umenijaza Nguvu Na Umenipaka Mafuta Mapya Ya Nguvu Mpya, Ili Kuzishinda Nguvu Zote Za Shetani Na Majeshi Yake Ya Pepo Wabaya; Pamoja Na Dhambi Na Udhaifu Wote!

Umenifanya Sasa Na Utaendelea Kunifanya Kuwa Chombo Kilicho Tayari Kwa Ajili Ya Utukufu Wako Milele,

Ee, Mungu; Hebu Sasa Ninaomba Uniwezeshe Tena, Nikusifu, Nikuinue Na Kukuabudu Mungu Katika Uzuri Wa Utakatifu Wako! Na Tazama Umesema Katika Zaburi Ya 29:1.2; ya kuwa Tukupe Utukufu Wa Jina Lako, Na Tene Tukuabudu Kwa Uzuri Wa Utakatifu Wako;

Asante Sana Mungu Wetu, Katika Utakatifu Wa Utatu Wako!

(a)..Sura Na Umbile Lako Mungu; Wewe Mungu Ni Roho Tena Mtakatifu Wa Watakatifu; Ni Wa Milele Uliyekuwako, Uliyeko, Na Utakayekuja.

Wewe Ni Mkuu Sana, Huna Mipaka Wala Kizuizi.

Uzima Wako Ni Wa Milele Na Milele Yote.

(b).. Uweza Wako Mungu Ni Wa Ajabu Ya Kutisha; Una Uweza Wa Milele Na Milele. Unaweza Yote, Wala Hauchoki!

Unajua Yote, Hekima Na Maarifa Yako Havichunguziki, Uko Popote, Mahali Pote Kwa Wakati Wote –

Hulali Wala Husinzii! Uwepo Wako Huleta Utukufu, Umeijaza Mbingu Na Nchi, Tena Unapendeza Na Kutisha Kama Nini!

Unamiliki Vyote, Dunia Na Vyote Viijazavyo, Pamoja Na Mbingu Na Majeshi Yako Yote, Vyote Ni Vyako!

(c).. Tabia Zako Mungu Na Mwenendo Wako Pia Havichunguziki! Na Wala Hakuna Lugha Itoshayo Kuelezea Uzuri Wako! Maana Msimamo Wako Ni Wa Milele Katika Utakatifu Wa Utakatifu Wote!

Wewe Mungu Unatenda Mema, Kwako Hakuna Tendo Lolote Baya Kamwe! Huna Kigeugeu Wala Kivuli Cha Kugeuka Geuka –

Haubadiliki Kamwe Msimamo Wako! Umejaa Huruma, Rehema, Na Fadhili Za Milele Na Upendo Wa Milele! Ni Mungu Mwenye Utukufu Mwingi.

(d)..Mapenzi Yako Ni Mema! Wewe Mungu Unapenda Mema Na Unachukia Dhambi Na Ubaya Wote! Ni Mungu Unayetuwazia Mema Siku Zote,

Maneno Yako Na Matendo Yako Kwetu Ni Kwa Mapenzi Yako Mema – Nasi Katika Hayo Yote Tunauona Uzuri Wako Mkuu Ajabu!

Unayakubali Mema Na Kuyakataa Mabaya Yote! Unachukia Mabaya Na Dhambi Za Waovu, Bali Unawapenda Viumbe Wako Wote, Wema Na Wabaya!

Kwa Neno Lako Umetujulisha Mapenzi Yako Kwamba-Hakuna Atakayetutenga Na Upendo Wako Mungu!

(e).. Jina Lako Ni Kuu, Takatifu Sana, Na Tukufu Sana.Linauweza Na Nguvu Za Milele.

Lina Mamlaka Yote. Ni Ngome Na Thawabu Kubwa Sana Kwa Kila Akuaminiye – Kwa Uponyaji, Ulinzi, Msaada, Na Wokovu;

Tena Ni Silaha Bora Sana! Wewe Ni Yehova Elshadai, Yehova Nisi,
Yehova Rafa,
Yehova Shama,
Yehoha Yire…. !

(f)..Njia Zako ( Kawaida, Desturi, Kanuni, Taratibu, Siri, Amri, Na Mapito Yako Yote) Hazichunguziki, Hazitafutikani, Hazifananishwi! Ni Za Hekima Na Maarifa Makuu Sana Kupita Wote!

Wewe Ni Mungu Wa Maagano Na Kweli.

(g).. Neno Lako Ni La Milele, Halina Makosa, Hata Hivyo Tazama; Umelihakikisha Tena Mara Saba! Ni Uzima, Ni Nuru, Ni Taa Na Mwangaza Kwetu, Ni Kali Kuliko Upanga Uwao Wote Ukatao Kuwili.

(h).. Kazi Zako Na Huduma Zako Kwa Wote Zaonakana Na Zatambulikana Kuwa Ni Za Heshima Na Adhama Kuu. Na Tena Ni Kuu Na Za Ishara Maajabu Na Miujiza Mikuu.

Unaokoa Na Kukomboa – Wewe Ni Shujaa Wa Wema Wote!

Uumbaji Wako Ni Mkuu Wapendeza Sana.

Unatoa Karama Na Huduma Zako Kwa Wanadamu Tuwe Mawakili Tu!

Unazivunja Na Kuziharibu Kazi Zote Za Shetani Ili Kututetea Na Kutuponya Wanadamu Tusionewe Na Kuharibiwa Na Shetani –

Tena Na Tazama, Umetupa Amri Na Uwezo Wa Kukanyaga Nyoka Na Nge Na Nguvu Zote Za Yule Mwovu, Wala Hakuna Kitakacho Tudhuru!

Kazi Zako Zinapendeza, Unazozitenda Ndani Ya Watu Kupitia Watu Wote Na Hasa Wale Walioitwa Kwa Jina Lako!

Wewe Ni Mungu Uletaye Neema, Kweli Na Uzima Wa Milele Kupitia Mwanao Na Bwana Wetu Yesu Kristo.

(i)..Unastahili Wewe Bwana. Kujulikana Mbinguni Na Duniani Kote Kuwa Ndiwe Mungu Pekee!

Utukufu Wote, Heshima Zote, Adhama, Ukuu, Enzi Na Mamlaka Yote!

Kusifiwa, Kuinuliwa, Kuabudiwa Na Kutukuzwa Milele Kuliko Wote Na Kupita Miungu Yote.

Kumiliki, Kutamalaki, Kutawala Vyote Milele!

(8).. Ninatulia Mbele Zako Sasa, Mungu Wangu Ninakushukuru Na Ninakukusikiliza Wewe, Ee, Mungu.

Ninaketi Na Kutulia Miguuni Pako Mungu Wangu Na Bwana Wangu Yesu Kristo Na Kukusikiliza Wewe, Ee, Roho Mtakatifu.

Sema Na Moyo Wangu Na Roho yangu, Ili Niendelee Kukufurahia Na Kukuabudu Wewe Tu.

Asante Baba. Asante Yesu. Asante Roho Mtakatifu.

Asante Kwa Kuzungumza Nami, Asante Kwa Nunijulisha Mapenzi Yako Maana Ninayangoja na, Ninayakubali yote-Ili Niyatende Katika Maisha yangu.

Mapenzi Yako Ni Mema Tena Yanapendeza Kama Nini!

Asante Mungu Wangu, Asante Yesu
Asante Roho Mtakatifu!

Ninakurudishia Sifa, Heshima Na Utukufu Wote. Katika Jina La Yesu Kristo Mwana Wa Mungu Aliye Hai. Amina.

A voice speaking 04/03/2021

Date 4th of February lesson

1.No gaa—–it will lead you in2 insanity

2.  Obedience and  humility
God opposes proud persons

A prideful person does not have these traits of obedience and humility  if you want to be used by God you have to obey every command . How can you be used by God and you don’t want to obey Him? 
Humble yourself before him go or do what he commands you
To be obedience means you must have personal relationship with Him
This means He is your Heavenly Father and also your friend
That relationship means you hve talk to each other so you must have ears to hear His voice

3.No more hatred —

4.Respect your mother like you do 2ua God, Christ, and the Holy Spirit, your wife,your kids,your father

5.Love those who are used by Satan to sin against your Loving Father who is at Heaven. Don’t mistreat them the Holy Bible says “blessed are peacakers 4they shall inherit earth”

¹ 6.Pray for your enemies that God may bless them

7.Don’t worry 4yourself what to eat or drink or what to ware coz your Heavenly Father will take care for you
No worshipping idols
don’t worship Satan or idols to be rich it will lead you to destruction.

Who are called by His name are like a bride groom the Holy Bible says God is a jealous God, just like a husband is jealous to his wife also God to his church

8.No more chewing miraa or you will be poor 4ever. The Bible says our body is dwellings of the Holy Spirit

9.Take every thought captive to the obedience of Christ

10.Salvation is a must

11.Baptism is must

12.Receiving The Holy Ghost is a must

13. Its our duty as a believer to exercise our powers and authority of casting out demons, heal the sick, speaking in tongues because its a sign of a true believer Mark 16:1-80

God is a rewarder of all that who love and respect Him also he is covenant keeping God who keeps his covenant even to a thousands generation to all that loves Him and punish the wickedness of father to children children’s even to third and fourth generation of all who hate Him. His name be glorified for ever and ever Amen
So it’s up to each and every one of us you to decide whether to  obey or disobey Him

According 2ua deeds so you shall  get paid–Disobedience will lead destruction
Righteous deeds will lead to life,joy,peace,and Eternal life

Areas that need repentance 11/03/2021

1.Cheating. 
    Kundanganya

2.Dishonesty in finances kutokua mwaminifu na pesa

3.Sexual uncleanness
     ngono

4.haughtiness
    kiburi

5.Lust of eyes.
  Tamaa mbaya

6.Disobeying God
   Kutokumtii Mungu

7.Unforgiving
    kutokusamehe

8.Mistrust.
   Kutoamini wengine

9.Anger
   hasira

10.Hatred
     chuki

11.Bitterness
      kinyongo

12.Resentment
      chuki

13.Judgemental

14.Rebellion
       uasi

15.Gluttony 
       ulafi

16.Pride.
     Kiburi

17.Mind reading
      kusoma akili

18.Prayer less ness
      kukosa kuomba

19.Excessive expenditures      
     Kutumia pesa vibaya

20.Perfectionism
     kujiona mkamilifu

21.Drug abuse
kutumia madawa ya kulevya

22.Vain talks —
kuongea maneno ya bure

23.selfishness
kujipenda

24.Murmuring
—- manuguniko

In need of forgiveness

Mathenge
Karanja
Brayo
Chege
Paul
Msoo
Wa-Bochi
Kelvo
Njenga
Kode
Watene
Kamarigu
Shaggy
Kamari
Mathey
Kariuki Gikundi
Wamael
Gichuki cabbs
Nyagu
Hiuko
Kamau shoe shiner
Rose Kigo
Zisto
Nyina wamucii.
Mpesa 2000 chania
Mwangi Chania
Ndonga chania
Mwaura chania
Juddy mtn
Washalon
Wakanini
Wa Meshach
Nyingi

Ndoooot.10/03/2021

10/03/2021

Nilikua nimelalia kitanda kama kile nilichokuwa nimelalia kwa ndugu yangu Thuita kwenye ndoto ya 09/03/2021.Lakini kwa hii ndoto  kilikuwa kimewekwa mahali juu katika room moja iliokuwa kumbwa nikama hiyo room iko hapo Naivas supermarket Nyeri,

Pale chini nikaona mwanaume na radio na  akaweka kanda iliokuwa mafundisho ya kiisilamu nanikama walikua wanashurutisha watu wayasikie yale  mafundisho

Lakini mimi nikama walikuwa wakiniogopa juwalikuwa wakiniangalia tu nikiwa juu ya kitanda, Na walikuwa wanataka majibishano na wakirsto

Kisha  nikajiona tukiwa mahali tulikuwa tunajenga Kanisa,tulikuwa tunalinjenga na mbao, Ntulipokuwa tuna jenga lile Kanisa nikaona  halijawekwa laini vizuri .

Mimi nikajiuliza hili ni Kanisa la Mungu limejengwa vibaya hivi ,nika sema ni lazima linjegwe likiwa laini

Basi tukalijenga na tukaliweka laini

Ndani ya ile Kanisa ilikuwa ni hall na kando yake ni rooms upande wa right na upande wa left

Alafu nilijikuta mahali pengine na ni kama ni nje ya lile Kanisa,

Kisha niliona kama kwamba  kando  ya hilo Kanisa kulikuwa na shule ya secondari

Alafu nikaona nikimshauri  msichana wa hilo shule ya secondari mwenye alikua amejifunga kitambaa kishwa kama vile waisilamu huwa wana jifunga. Chenye nilimshauri kilimfulahisha alafu rafiki yake akataka kujua chenye nimemshauri lakini hutukumwabia badala yake nilimkalisha chini naye nikamshauri kivingine alafu akaondoka

……..Alafu nikajisikia na kuamka,nilipoamka nilizikia hofu na nikatoa machozi

Ndoooot.09/03/2021


     09/03/2021
Ngiona ndi handu town ya Othaya.Handu Ndaigite indo ciakwa cia kwendia indo ta gitunguru cia  ngwaci na machugwa no haria ndacigite ndukaini hari hahinge na kufuri na mwene ndariho,no ngietherwo cabi ngihingura na ngiruta indo ciakwa.

Ngicoka ngiona ndi ngariini ya matatatu tugithie na Nyeri, na twari na andu angi twathiaga nao.

Twathianga ngiona twarugamio ni ta borithi  na makiminyita,na thiini wa ngari iyo nihari na mutumia umwe wari na nguo ndaihu na gitabaya kia hwaiti na andu angi maikarite thi okuu ngariini nii ndari haria thutha.

Mutumia ucio nionekaga niaragia muno,

  Ngari icio ciari igiri cia hwaiti .

Ngicoka ngiona ndi handu barabaraini handu hahanaga ta Nyeri barabaraini ya majengo , na andu marite raini mikiraini ya barabara, nanitakwari na mundu metereire  wa gitiio namakenete muno marugamite mwiena yeeri o mundu arite kiria  endagia indo ta itunguru na indo ingi, na mari nagikeno muno ngira umwe wao athiathiire akinjokeria akinjira hatiri na thina .

Ngichoka ngiona njokite haria ndatigite ngari, ngikora ngari iri oharia ndachitigite hamumwe na andu aria twari nao, ngiringwo ni tha na ngiuria atiriri andu aya matiri mona mundu ungimateithia nginyagia  dereba wa ngari icio  ndari ho, no borithi ciari orohau hakuhi  no ngiona nita wiki igiri thiru kuma riria  ndamatigite hau

Ningi ngichoka ngiiona ta ndari Nairobi na kuria ndari ngiona ni gwa cousin yakwa itagwa Shiru kuria  aikaraga,.kwari kundu ngorobaini no ndari kuo no ngithii nginya kuo, agichoka  ikingora kuo mena muru wa maitu Thuita no Thuita titaaikaraga kuu nita aikaraga kanyumbaini kangi kahanaga orouguo gatiari gakoroge na karii ka mbau kari na uriri na miringiti itari na machuka.

Ngihata na ngimithondeka wega.Thuita agichoka akingora kuu  nyumba ngomete

Thaburi

Zaburi 92: 9-15

[9] Kwa maana tazama, wapinzani wako, Ee Bwana, kwa maana, adui zenu wataangamia; Wahalifu wote watatawanyika.

[10] Lakini pembe yangu (ishara ya nguvu nyingi na neema nzuri) umeinua kama ule wa ng’ombe wa mwitu; Mimi ni mafuta na mafuta safi.

[11] Jicho langu linaangalia wale wanaomngojea; Masikio yangu kusikia wahalifu wanaoinuka juu yangu.

[12] Waadilifu hawawezi kuzaa kama mtende [wa muda mrefu, wenye utulivu, wenye haki, wenye manufaa, na wenye matunda]; Watakua kama mwerezi huko Lebanoni [utukufu, imara, imara, na isiyoharibika].

13 Walipanda katika nyumba ya Bwana, watakua katika mahakama za Mungu wetu.

[14] [Kukua kwa neema] watazaa matunda katika uzee; Watakuwa wamejaa safu [ya nguvu ya kiroho] na [matajiri katika hali ya uaminifu, upendo, na kuridhika].

[15] [Wao ni kumbukumbu ya kuishi] kuonyesha kwamba Bwana ni sawa na mwaminifu kwa ahadi zake; Yeye ndiye mwamba wangu, na hakuna uovu ndani yake. [Rom. 9:14.],

Zaburi 60: 1-12

[1] Ee Mungu, umetukata na kututupa mbali, ukavunjika [ulinzi wetu], na kutatuliwa; Umekuwa hasira-o kuturudisha na kugeuka kwetu tena!

[2] Umeifanya nchi itetemeke na kutetemeka, umekataa; Kukarabati uvunjaji wake, kwa sababu inavutia na totters.

[3] Umewafanya watu wako kuteseka vitu vyenye ngumu; Umetupa kunywa divai ambayo inatufanya reel na kuangamizwa.

[4] [Lakini sasa umeanzisha bendera kwa wale wanaogopa na kuheshimu kwao ambao wanaweza kukimbia kutoka kwa upinde], kiwango kilichoonyeshwa kwa sababu ya kweli. Sela [pause, na ufikirie kwa utulivu juu ya hilo]!

[5] Kwamba wapendwa wako waweze kuokolewa, isipokuwa kwa mkono wako wa kulia na kutujibu.

[6] Mungu amesema katika utakatifu wake [katika ahadi zake]: Nitafurahi, nitagawanyika na kugawanya shamba lake Shekemu na Bonde la Sukoti, magharibi kuelekea mashariki].

7] Gileadi ni yangu, na Manase ni wangu; Efraimu pia ni kofia yangu (ulinzi wa kichwa changu); Yuda ni fimbo yangu na mgizaji wangu.

[8] Moabu ni safisha yangu [kupunguzwa kwa utumishi wa utumishi]; Juu ya Edomu nilitupa kiatu changu kwa ushindi; Zaidi ya Philistia mimi kuongeza sauti ya ushindi.

9 Nani atakayeleta mimi [Daudi] katika mji wenye nguvu [wa Petra]? Nani ataniongoza katika Edomu?

[10] Je! Hukutukana, Ee Mungu? Je! Huwezi kwenda, Ee Mungu, pamoja na majeshi yetu?

[11] Ea kutusaidia dhidi ya adui, kwa maana (bila kusudi na hakuna lengo) ni msaada au wokovu wa mwanadamu kwa njia ya Mungu tutafanya kwa nguvu, kwa maana yeye ndiye atakayewachea wapinzani wetu.,

Zaburi 53: 1-6

1] Wao, na wanafanya uovu mbaya; Hakuna mtu anayefanya mema

[2] Mungu aliangalia chini kutoka mbinguni juu ya watoto wa wanadamu kuona kama kulikuwa na yeyote ambaye alielewa, ambaye alitaka (aliuliza baada ya kuhitajika na kumhitaji sana na kuhitajika).

[3] Kila mmoja wao amekwenda nyuma [kurudi nyuma na kuanguka]; Wao wamekuwa na uchafu na uharibifu; Hakuna yeyote anayefanya mema, hapana, sio moja. [Rom. 3: 10-12.

[4] Wale wanaofanya kazi mabaya hakuna ujuzi (hakuna ufahamu)? Wanala watu wangu kama wanakula mkate; Hawatamwita Mungu.

[5] Huko ni, kwa hofu na hofu, ambako kulikuwa na [na hakuwa na hofu na hofu! Kwa maana Mungu amewatangaza mifupa ya yeye anayekutenganisha; Umewaweka aibu, kwa sababu Mungu amewakataa.

[6] Oh, kwamba wokovu na ukombozi wa Israeli wangetoka Sayuni! Wakati Mungu atakaporudia watu wake, basi Yakobo atafurahi na Israeli kuwa na furaha. Zaburi 89: 11-52

[11] Mbingu ni zako, dunia pia ni yako; Dunia na yote yaliyo ndani yake, umewaanzisha

[12] Kaskazini na Kusini, umewaumba; Mlima Tabori na Mlima Hermon hufurahi jina lako.

13 Una mkono wenye nguvu; Nguvu ni mkono wako, mkono wako wa kulia unaoongezeka juu.

[14] Haki na haki ni msingi wa kiti chako cha enzi; rehema na fadhili zenye upendo na ukweli huenda mbele ya uso wako.

[15] Heri (furaha, bahati, kuwa na wasiwasi) ni watu ambao wanajua sauti ya furaha [ambao wanaelewa na kufahamu baraka za kiroho zinazoonyeshwa na sikukuu]; Wanatembea, Ee Bwana, kwa nuru na neema ya uso wako!

[16] Kwa jina lako wanafurahi siku zote, na kwa haki yako wameinuliwa

[17] Kwa maana wewe ni utukufu wa nguvu zao [mavazi yao ya kiburi], na kwa neema yenu pembe yetu imeinuliwa na tunatembea na nyuso zilizoinuliwa!

18 Kwa maana ngao yetu ni ya Bwana, na mfalme wetu kwa Mtakatifu wa Israeli.

[19] Mara baada ya kuzungumza kwa maono kwa watu wako waliojitolea, na kusema, nimempa mtu mwenye nguvu, kumpa nguvu ya kusaidia-kuwa bingwa wa Israeli]; Nimeinua mmoja aliyechaguliwa kati ya watu.

20 Nimemwona Daudi mtumishi wangu; Kwa mafuta yangu takatifu nimemtia mafuta, [Matendo 13:22.].

[21] Na mkono wangu utaanzishwa na milele; Mkono wangu pia utaimarisha.

22 “Adui hawezi kumfanyia unyanyasaji au kumtupa, wala waovu hawatasumbua na kumnyenyekeza.

[23] Nitawapiga adui zake mbele ya uso wake na kuwapiga wale wanaomchukia.

[24] Uaminifu wangu na rehema yangu na fadhili zenye upendo zitakuwa pamoja naye, na kwa jina langu, pembe yake itainuliwa [nguvu kubwa na ustawi zitapewa].

[25] Nitaweka mkono wake kwa udhibiti wa Bahari ya Mediterranean, na mkono wake wa kuume juu ya mito [Firate na mabaki yake].

26 Naye atanilia, Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, na mwamba wa wokovu wangu!

27 Nami nitamfanya awe mzaliwa wa kwanza, wa juu wa wafalme wa dunia. [Ufu 1: 5.]

[28] rehema yangu na fadhili zenye upendo nitamtegemea milele, na agano langu litasimama na kuwa mwaminifu pamoja naye.

[29] Watoto wake pia nitafanya kuvumilia milele, na kiti chake cha enzi kama siku za mbinguni. [Isa. 9: 7; Gal. 3:16.

[30] Ikiwa watoto wake wakiacha sheria yangu, wala hawatembei katika maagizo yangu,

[31] Ikiwa wanavunja au kuidharau amri zangu, wala msiizuie amri zangu,

[32] basi nitawaadhibu makosa yao na fimbo ya adhabu, na uovu wao kwa Str [II Sam. 7:14.]

[33] Hata hivyo, si fadhili zangu za upendo, wala usiruhusu uaminifu wangu kushindwa [kusema uongo na kuwa uongo].

[34] Agano langu siwezi kuvunja au kuchukiza, wala kubadilisha kitu kilichotoka kwenye midomo yangu.

[35] Mara moja nimeapa kwa utakatifu wangu, ambayo haiwezi kukiuka; Siwezi kusema uongo kwa Daudi:

[36] Watoto wake watavumilia milele, na kiti chake cha enzi kitaendelea kama jua mbele yangu. [Isa. 9: 7; Gal. 3:16.

[37] Itatengenezwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu mbinguni. Sela [pause, na ufikirie kwa utulivu juu ya hilo]! [Ufu 1: 5; 3:14.]

[38] Lakini kwa hiyo ninyi nyote, wewe Bwana mwaminifu] amezitoa na kukataliwa; Umejaa ghadhabu dhidi ya mafuta yako. .

[39] Umeidharau na kuchukia na kukataa agano na mtumishi wako; Umejitia taji yake kwa kuitupa chini.

[40] Umevunja ua wake wote na kuta zake; Umeleta ngome zake kuharibu.

[41] Wote wanaopita kando ya barabara na kumchukua; Amekuwa aibu na aibu ya majirani zake.

[42] Umeinua mkono wa kulia wa adui zake; Umewafanya adui zake wote kufurahi.

[43] Zaidi ya hayo, umegeuka nyuma ya upanga wake na haukumfanya awe amesimama katika vita.

[44] Umefanya utukufu na utukufu wake waweke na kunukuu chini ya kiti chake cha enzi

[45] Siku za ujana wake umefupisha; Umefunikwa kwa aibu. Sela [pause, na ufikirie kwa utulivu juu ya hilo]!

[46] Muda gani, Ee Bwana? Je, utajificha milele? Je! Hasira yako itawaka muda gani kama moto?

[47] O [kwa bidii] kumbuka jinsi muda mfupi ni mfupi na nini yangu ya maisha ya maisha ya muda mfupi. Kwa udhaifu gani, uharibifu, ubatili, na udhaifu umewaumba watu wote!

[48] Mtu anayeweza kuishi na hatataona kifo, au anaweza kujiokoa kutoka kwa mkono wa nguvu wa Sheol (mahali pa wafu)? Sela [pause, na kwa utulivu fikiria kwamba]!

[49] Bwana, wapi fadhili zako za zamani za upendo, zilizoonyeshwa katika utawala wa Daudi na Sulemani], ulizoahidi kwa Daudi kwa uaminifu wenu?

[50] Kumbuka, Bwana, na aibu ya watumishi wako, alidharau na kumtukana, jinsi ninavyobeba katika kifua changu aibu ya watu wote wenye nguvu na wenye nguvu.

[51 ambao adui zenu wamemdharau

[52] Heri kuwa Bwana milele! Amina na Amen.